Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini, ameruhusiwa kutoka hospitalini alipokuwa amelazwa kwa ajili ya kufanyiwa vipimo maalumu kuhusiana na afya yake. Kwa mujibu wa ikulu ya rais, Zuma alilazwa kwa masaa machache hapo jana akifanyiwa vipimo juu vya afya yake ambapo baada ya madaktari kuridhika na afya ya kiongozi huyo wa Afrika Kusini, wamemruhusu kurejea nyumbani.
Hapa ni wakati akipelekwa Hospitalini,aliyo wai kutunziwa eko Mzee Mandela |
1
MUSIC CATEGORIES
Best Male:
Anselmo Ralph (Angola)
Davido (Nigeria) WINNER
Diamond (Tanzania)
Donald (South Africa)
Wizkid (Nigeria)
- See more at: http://www.kengete.com/2014/06/live-kutoka-kwazulu-natal-washindi-wa.html#sthash.21boLLEC.dpufDavido (Nigeria) WINNER
Diamond (Tanzania)
Donald (South Africa)
Wizkid (Nigeria)
0 comments:
Toa Maoni yako
Tuambie Unafikilia Nini..!