Headlines News :
USWAZI MAGAZINE
Home » » JESHI LA DRC LAZIDI KUENDELEZA OPERESHENI DHIDI YA WAASI WA FDLR.

JESHI LA DRC LAZIDI KUENDELEZA OPERESHENI DHIDI YA WAASI WA FDLR.

Written By Unknown on Monday 23 March 2015 | Monday, March 23, 2015

Jeshi la Jamuri ya Kidemokrasia ya Kongo linazidi kusonga mbele katika mapambano dhidi ya waasi wa Kinyarwanda wa FDLR katika jimbo la Kivu Kusini, mashariki mwa Kongo. Meja Simon Tuaijiki Mameja Msemaji wa operesheni za kijeshi katika jimbo la Kivu Kusini amesisitiza kuwa, lengo kuu la wanajeshi wa Congo si kuwaangamiza waasi wa FDLR, bali ni kuwashinikiza ili wakubali kuweka chini silaha zao.  Meja Mameja ameongeza kuwa, shambulizi hilo litaandaaa mazingira ya kupokonywa silaha za waasi wasiopungua 160.
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI
Share Na Jamaa Yako :

0 comments:

Toa Maoni yako

Tuambie Unafikilia Nini..!

Followers

Facebook Fan Page

Tukutane Twitter

Walio Tembelea Website Hii

Advertise

Smiley face
 
Support : Ismail Niyonkuru | Gody Godwin Unstoppable
Proudly powered by Blogger
Copyright © 2011. Ahabona 24 - Haki Zote Zimehifadhiwa
Template Design by Gody Godwin Unstoppable Published by Uswazi