Lile bifu linalondelea kati ya mwigizaji Irene Uwoya na mmiliki wa kampuni maarufu ya magazeti nchini TANZANIA Erick Shigongo limeshika hatamu mpya baada ya mwigizaji huyo kuendelea kusema yake ya moyoni kuhusu kile ambacho anakisema kuendelea kuchafuliwa na mfanyibiashara huyo kupitia magazeti yake hayo.

Hayo ni maneno ya mwanadada huyu kuhusu linachoendelea kati ya na Erick Shigongo.


0 comments:
Toa Maoni yako
Tuambie Unafikilia Nini..!