Headlines News :
USWAZI MAGAZINE
Home » , » MAKUBWA YALIZUKA KWENYE MECHI YA BARCELONA NA ELCHE AMBAPO PAKA MWEUSI ALIONEKANA AKIINGIA UWANJANII GHAFLA,MCHEKI HAPA.

MAKUBWA YALIZUKA KWENYE MECHI YA BARCELONA NA ELCHE AMBAPO PAKA MWEUSI ALIONEKANA AKIINGIA UWANJANII GHAFLA,MCHEKI HAPA.

Written By Unknown on Monday 25 August 2014 | Monday, August 25, 2014

Klabu ya Barcelona ya Uhispania ilianza vyema kwenye ligi kuu ya nchini humo ambayo inajulikana kwa jina la La Liga kufuatia ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Elche Uwanja wa Camp Nou usiku wa kuamkia leo.
Katika mchezo huo, kiungo wa Barca Javier Mascherano alitolewa nje kwa kadi nyekundu kipindi cha kwanza,

Kocha wao mpya Luis Enrique alikiiongoza kikosi cha timu kwa mara ya kwanza,na kuoonyesha mwanzo mzuri,Messie aliweza kuifungia Barca bao la kwanza baada ya kuwazidi ujanja mabeki sita wa Elche, kabla ya kinda Munir El Hadaddi kufunga la pili, mabao yote kipindi cha kwanza. 
Nyota wa Argentina, Lionel Messi alifunga bao lake la pili na ambalo lilikamilisha bao la tatu la kuhitimisha ushindi wa Barca baada ya jitihada binafsi kipindi cha pili.
Paka mweusi alikatiza Uwanja wa Camp Nou mwanzoni tu mwa mchezo na kusababisha mechi isimame kwa muda ili aondoke.
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI
Share Na Jamaa Yako :

0 comments:

Toa Maoni yako

Tuambie Unafikilia Nini..!

Followers

Facebook Fan Page

Tukutane Twitter

Walio Tembelea Website Hii

Advertise

Smiley face
 
Support : Ismail Niyonkuru | Gody Godwin Unstoppable
Proudly powered by Blogger
Copyright © 2011. Ahabona 24 - Haki Zote Zimehifadhiwa
Template Design by Gody Godwin Unstoppable Published by Uswazi