Headlines News :
USWAZI MAGAZINE
Home » , » Manchester United yaivuta shati Chelsea katika mbio za ubingwa wa EPL

Manchester United yaivuta shati Chelsea katika mbio za ubingwa wa EPL

Written By Unknown on Monday 17 April 2017 | Monday, April 17, 2017


Mshambuliaji wa Manchester United, Marcus Rashford dakika ya saba alianza kuifungia timu yake goli moja katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Chelsea kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Old Trafford.
Ander Herrera dakika ya 49 aliipatia Manchester United bao la pili na kuufanya mchezo huyo kumalizika kwa Man U kushinda 2-0.
Pamoja na kufungwa, Chelsea inaendelea kuongoza Ligi Kuu kwa pointi 75 za mechi 32 wakati United inaendelea kushika nafasi ya tano kwa pointi 60 za mechi 31.

TOA MAONI YAKO HAPA CHINI
Share Na Jamaa Yako :

0 comments:

Toa Maoni yako

Tuambie Unafikilia Nini..!

Followers

Facebook Fan Page

Tukutane Twitter

Walio Tembelea Website Hii

Advertise

Smiley face
 
Support : Ismail Niyonkuru | Gody Godwin Unstoppable
Proudly powered by Blogger
Copyright © 2011. Ahabona 24 - Haki Zote Zimehifadhiwa
Template Design by Gody Godwin Unstoppable Published by Uswazi