Headlines News :
USWAZI MAGAZINE
Home » , » BAADA YA REAL MADRID KUIIBWAGIZA GETAFE SASA YA KAA MAHALI NZURI LA LIGA.

BAADA YA REAL MADRID KUIIBWAGIZA GETAFE SASA YA KAA MAHALI NZURI LA LIGA.

Written By Unknown on Saturday 5 December 2015 | Saturday, December 05, 2015

Miongoni mwa ile michezo 9 ya LaLiga ya weekend hii, tayari baadhi ya michezo hiyo imeshachezwa Jumamosi ya December 5, miongoni mwa mechi za Ligi ya Hispania zilizochezwa ni mchezo kati ya Real Madrid dhidi ya Getafe, mechi ambayo ilikuwa inapewa nafasi Real Madrid kushinda na kupunguza tofauti ya point dhidi ya FC Barcelona.

5000

Real Madrid ambayo ilikuwa na utofauti wa point 6 dhidi ya FC Barcelona, imeikaribisha Getafe katika dimba la Santiago Bernabeu na kuifunga jumla ya goli 4-1 na kufanya itimize jumla ya point 30 na michezo 14 ikiwa ni tofauti ya point tatu dhidi ya wapinzani wao wa jadi FC Barcelona.


3580

Magoli ya Real Madrid yalianza kufungwa na Karim Benzema dakika ya 4 na 16, Gareth Bale dakika ya 35 kabla ya Cristiano Ronaldo kufunga goli la nne dakika 38. Getafe walirudi kipindi cha pili kutafuta magoli ya kusawazisha, jitihada ambazo ziligonga mwamba na kuambulia goli moja pekee lililofungwa na Alexis dakika ya 70.
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI
Share Na Jamaa Yako :

0 comments:

Toa Maoni yako

Tuambie Unafikilia Nini..!

Followers

Facebook Fan Page

Tukutane Twitter

Walio Tembelea Website Hii

Advertise

Smiley face
 
Support : Ismail Niyonkuru | Gody Godwin Unstoppable
Proudly powered by Blogger
Copyright © 2011. Ahabona 24 - Haki Zote Zimehifadhiwa
Template Design by Gody Godwin Unstoppable Published by Uswazi