BAO
pekee la Tressor Mputu dakika ya saba, limeipa ushindi wa 1-0 Tout
Puissant Mazembe dhidi ya Stade Malien ya Mali katika Nusu Fainali ya
pili ya
Kombe la Shirikisho la Soka Afrika Uwanja wa Mazembe mjini Lubumbashi jana. Matokeo hayo yanaifanya Mazembe yenye washambuliaji wawili Watanzania,
Mbwana Samatta na Thomas Ulimwengu itinge fainali ya michuano hiyo. Hata hivyo, bado haijajulikana Mazembe itacheza na nani katika fainali kutokana na Bizertin na CS Sfaxien zote za Tunisia kutoka tena sare ya bila kufungana jana na sasa zitarudiana tena leo.
Katika mchezo wa kwanza, Mazembe iliifunga Malien mabao 2-1 mjini Bamako.
Kombe la Shirikisho la Soka Afrika Uwanja wa Mazembe mjini Lubumbashi jana. Matokeo hayo yanaifanya Mazembe yenye washambuliaji wawili Watanzania,
Mbwana Samatta na Thomas Ulimwengu itinge fainali ya michuano hiyo. Hata hivyo, bado haijajulikana Mazembe itacheza na nani katika fainali kutokana na Bizertin na CS Sfaxien zote za Tunisia kutoka tena sare ya bila kufungana jana na sasa zitarudiana tena leo.





0 comments:
Toa Maoni yako
Tuambie Unafikilia Nini..!