![]() |
| Kook-k akimuuliza abiria mwenzake ndani ya ndege,unahisi alikuwa akimuuliza nini?mi nahisi alikuwa akiuliza hiyi ni nini? |
![]() |
| Kook-k akisinzilishwa na muziki kwenye simu yake.....khoooo....khoooooo...khooooo |
![]() |
| Kook-k akila kipozi pozi ndani ya ndege |
![]() |
| Kook-k akiichungulia Burundi juujuu kwenye kio akisema duuuuuu....kweli hiyi ndo Burundi tunakuwa tunajisifia |






0 comments:
Toa Maoni yako
Tuambie Unafikilia Nini..!