Headlines News :
USWAZI MAGAZINE
Home » , » EXCLUSIF...HUYU NDO MCHEZAJI MAARUFU WA SOKA KUTOKA NCHINI TANZANIA ALIE MSIFIA MCHEZAJI TAMBWE KHAMIS KUTOKA HAPA BURUNDI

EXCLUSIF...HUYU NDO MCHEZAJI MAARUFU WA SOKA KUTOKA NCHINI TANZANIA ALIE MSIFIA MCHEZAJI TAMBWE KHAMIS KUTOKA HAPA BURUNDI

Written By Unknown on Friday, 7 February 2014 | Friday, February 07, 2014

Mshambuliaji maarufu wa klabu ya Yanga ya nchini Tanzania Mrisho ngasa ametumia akaunti ya mtandao wake wa Twitter kutoa sifa nzuri kwa mshambuliaji wa klabu ya Simba Amisi Tambwe ambae ni raia kutoka hapa nchini Burundi ila ambae anachezea huko Tanzania. Ngassa pia ametumia akaunti hiyo kuzungumzia changamoto alizokutana nazo kwenye soka kiasi cha kufikiria kuachana na mchezo huo, huku akisema mechi ya Yanga dhidi ya Mbeya City ni mechi kubwa sana kwenye kumbukumbu zake za soka na alifurahia mno kushinda.


TOA MAONI YAKO HAPA CHINI
Share Na Jamaa Yako :

0 comments:

Toa Maoni yako

Tuambie Unafikilia Nini..!

Followers

Facebook Fan Page

Tukutane Twitter

Walio Tembelea Website Hii

Advertise

Smiley face
 
Support : Ismail Niyonkuru | Gody Godwin Unstoppable
Proudly powered by Blogger
Copyright © 2011. Ahabona 24 - Haki Zote Zimehifadhiwa
Template Design by Gody Godwin Unstoppable Published by Uswazi