Video ya wimbo wa Shakira ‘Cant Remember to Forget You’ aliyompa
shavu mwimbaji mwenzake wa Caribbean, Rihanna imekosolewa vikali na
mwanasiasa mmoja nchini Colombia anayefahamika kwa jina la Marco Fidel
Ramirez, akidai kuwa kinyume cha maadili na hivyo kuwaharibu watoto
wadogo.
Marco Fidel, ameiomba serikali ya Colombia kuipiga marufuku video hiyo ama vipande vya video hiyo ambavyo amedai kuwa vinasapoti usagaji, uvutaji sigara na mauaji.
“Our Shakira with her erotic video is promoting tobacco usage and has become the wost example for our youth.” Alitweet mwanasiasa huyo kutoka Bogota, Colombia.
“Shakira’s new video is a shameless case for lesbianism and
immorality. It is a danger to children. It sends a provocative message
to weak people who can be polluted and inducet to practice lesbianism.”
Aliongeza katika tweet nyingine.
Ukitaka kuitizama video hiyo ndo hiyi hapa
Marco Fidel, ameiomba serikali ya Colombia kuipiga marufuku video hiyo ama vipande vya video hiyo ambavyo amedai kuwa vinasapoti usagaji, uvutaji sigara na mauaji.
“Our Shakira with her erotic video is promoting tobacco usage and has become the wost example for our youth.” Alitweet mwanasiasa huyo kutoka Bogota, Colombia.
Ukitaka kuitizama video hiyo ndo hiyi hapa
0 comments:
Toa Maoni yako
Tuambie Unafikilia Nini..!