Headlines News :
USWAZI MAGAZINE
Home » , » KWA HILI,LINAASHIRIA KUWA MUIGIZAJI PAUL WALKER ALIKUWA ANAMPENDA SANA BINTI YAKE

KWA HILI,LINAASHIRIA KUWA MUIGIZAJI PAUL WALKER ALIKUWA ANAMPENDA SANA BINTI YAKE

Written By Unknown on Friday, 7 February 2014 | Friday, February 07, 2014

Nyota wa filamu ya The fast and Furious, Paul Walker, 40, ambaye alifariki kwenye ajali mbaya ya gari mwishoni mwa mwaka jana amemuachia urithi wa mali zenye thamani ya $25 millioni mtoto wake wa kike mwenye umri wa miaka 15, Meadow huku akimuacha patupu girlfriend wake aliyeishi naye kwa miaka 7 Jasmine Pilchard-Gosnell, 23,  ambaye walianza mahusiano kipindi msichana huyo akiwa na miaka 16. Wosia uliandikwa na muigizaji huyo mnamo mwaka 2001, ulisema Meadow Rain Walker ndiye mtoto wake pekee.

Kwa mujibu wosia huo, Paul alimtaja baba yake, Paul Walker III, kuwa ndiye msimamizi wa mirathi yake na mama yake Cheryl Ann Walker kama shahidi wa pili.
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI
Share Na Jamaa Yako :

0 comments:

Toa Maoni yako

Tuambie Unafikilia Nini..!

Followers

Facebook Fan Page

Tukutane Twitter

Walio Tembelea Website Hii

Advertise

Smiley face
 
Support : Ismail Niyonkuru | Gody Godwin Unstoppable
Proudly powered by Blogger
Copyright © 2011. Ahabona 24 - Haki Zote Zimehifadhiwa
Template Design by Gody Godwin Unstoppable Published by Uswazi