Headlines News :
USWAZI MAGAZINE
Home » » BAADA YA VIONGOZI WA NCHI 5 AMBAO UCHUMI WAZO WAKUWA KWA KASI KUUNGANA KWA PAMOJAA SASA WAAMUWA KUANZISHA BANK YAO.

BAADA YA VIONGOZI WA NCHI 5 AMBAO UCHUMI WAZO WAKUWA KWA KASI KUUNGANA KWA PAMOJAA SASA WAAMUWA KUANZISHA BANK YAO.

Written By Unknown on Wednesday, 16 July 2014 | Wednesday, July 16, 2014


Viongozi wa nchi tano zenye uchumi unaokuwa kwa kasi duniani (BRICS) wameanzisha benki ya maendeleo kwa ajili ya kukabiliana na mfumo wa kifedha wa kimataifa unaodhibitiwa na nchi za Magharibi. Wakuu wa nchi za Brazil, Russia, India, China na Afrika Kusini wamechukua uamuzi huo katika mkutano wao uliofanyika huko Fortaleza nchini Brazil jana Jumanne.
Akizungumza katika mkutano huo, Rais Vladimir Putin wa Russia amesema kama ninavyomnukuu: "Bila ya shaka kuna njia madhubuti za kuzuia matatizo mapya ya kiuchumi duniani; na kwamba kuanzishwa benki hiyo pia kutaandaa msingi wa kujiri mabadiliko makubwa ya kiuchumi," mwisho wa kunukuu.
Rais wa Russia ametaka pia kuanzishwa taasisi mpya ya nishati ili kuzidisha usalama wa nishati kwa nchi wanachama wa kundi la Brics. Nchi za Brics zinaunda zaidi ya asilimia 40 ya jamii ya watu dunia.


TOA MAONI YAKO HAPA CHINI
Share Na Jamaa Yako :

0 comments:

Toa Maoni yako

Tuambie Unafikilia Nini..!

Followers

Facebook Fan Page

Tukutane Twitter

Walio Tembelea Website Hii

273812

Advertise

Smiley face
 
Support : Ismail Niyonkuru | Gody Godwin Unstoppable
Proudly powered by Blogger
Copyright © 2011. Ahabona 24 - Haki Zote Zimehifadhiwa
Template Design by Gody Godwin Unstoppable Published by Uswazi