Headlines News :
USWAZI MAGAZINE
Home » » MASHAMBULIZI YA ISRAEL KWA WAPALESTINA HUKO GHAZA SERIKALI YA A.KUSINI YAYALAANI VIKALI.

MASHAMBULIZI YA ISRAEL KWA WAPALESTINA HUKO GHAZA SERIKALI YA A.KUSINI YAYALAANI VIKALI.

Written By Unknown on Wednesday, 16 July 2014 | Wednesday, July 16, 2014

Wakatio huo huo serikali ya Afrika Kusini imelaani mashambulio ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Ghaza na kueleza kuwa matukio ya hivi sasa huko Palestina hayapasi kuiathiri serikali ya umoja wa kitaifa ya Palestina. Mbali na serikali ya Afrika Kusini, vyama vingine vya nchi hiyo, navyo pia vimetoa taarifa kwa nyakati tofauti vikilaani mashambulio ya utawala wa Kizayuni na kusisitiza juu ya ulazima wa kuwaunga mkono raia wa Palestina wa Ukanda wa Ghaza.
Hii ni katika hali ambayo wanaharakati wanaowaunga mkono wananchi wa Palestina huko katika mji wa Pretoria nchini Afrika Kusini wamefanya maandamano na kutaka kufukuzwa balozi wa utawala wa Kizayuni nchini Afrika Kusini. Hadi sasa Wapalestina zaidi ya 190 wameshauliwa shahidi na wengine zaidi ya 1400 kujeruhiwa tangu kuanza mashambulio ya pande zote ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Ghaza.
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI
Share Na Jamaa Yako :

0 comments:

Toa Maoni yako

Tuambie Unafikilia Nini..!

Followers

Facebook Fan Page

Tukutane Twitter

Walio Tembelea Website Hii

273850

Advertise

Smiley face
 
Support : Ismail Niyonkuru | Gody Godwin Unstoppable
Proudly powered by Blogger
Copyright © 2011. Ahabona 24 - Haki Zote Zimehifadhiwa
Template Design by Gody Godwin Unstoppable Published by Uswazi