Headlines News :
USWAZI MAGAZINE
Home » » KWA UHABA WA MABEKI WALIONAO ARSENAL,SASA WAAMUWA KUKIWINDA HICHI KIFAA KUTOKA HUKO OLYMPIAKOS.

KWA UHABA WA MABEKI WALIONAO ARSENAL,SASA WAAMUWA KUKIWINDA HICHI KIFAA KUTOKA HUKO OLYMPIAKOS.

Written By Unknown on Wednesday 20 August 2014 | Wednesday, August 20, 2014


Klabu ya Arsenal imepiga hatua nzuri katika mbio za kumsajili beki wa Olympiacos Kostas Manolas. Meneja wa klabu hiyo Arsene Wenger anataka kusaini beki mpya kabla ya kufungwa kwa dirisha la usajili wa kiangazi kufuatia kuondoka kwa nahodha wake Thomas Vermaelen kwenda Barcelona.
Arsenal kwasasa ina uhaba wa mabeki kufuatia kuumia msuli kwa Kieran Gibbs ambapo atakaa nje kwa kipindi cha wiki tatu zijazo. Wenger kwasasa anafanya kila njia kuhakikisha anakamilisha usajili huo ambao unaweza kumgharimu paundi milioni 6.5 kabla ya kufungwa kwa dirisha hilo Septemba mosi.

TOA MAONI YAKO HAPA CHINI
Share Na Jamaa Yako :

0 comments:

Toa Maoni yako

Tuambie Unafikilia Nini..!

Followers

Facebook Fan Page

Tukutane Twitter

Walio Tembelea Website Hii

Advertise

Smiley face
 
Support : Ismail Niyonkuru | Gody Godwin Unstoppable
Proudly powered by Blogger
Copyright © 2011. Ahabona 24 - Haki Zote Zimehifadhiwa
Template Design by Gody Godwin Unstoppable Published by Uswazi